TAitu Betul alikuwa mwanamke mtukufu wa Ethiopia ambaye pamoja na mumewe Maliki Menelik II walitawala Ethiopia kuanzia 1889 hadi 1913. Anakumbukwa kwa upinzani wake na ushindi dhidi ya majeshi ya wakoloni wa Italia na uwezo wake wa kisiasa katika mahakama ya kifalme.